Kipindi maalum cha mahubiri pamoja na Muinjilisti wa kimataifa ROB WELCH kunako Radio Sauti ya Injili Goma hii tarehe 19 agosti 2019.
Mwongozi wa kipindi ni Mchungaji Ezra KASEREKA MAKOMA. Mahubiri haya yanajaa baraka za kiroho na mwito ili fuata Yesu Kristo. Fungua na usikilize neno la mungu ukisikia sauti ya Muinjilisti…